โ† Back to confessions
Y
Yamoyoni
โ† Back to confessions
Confession

ID A654AF

Published 1 month ago ๐Ÿ‘ 117 ๐Ÿ’ฌ 0

Nilimwoa mume wangu kwa upendo mkubwa sana, nikiwa na uhakika kuwa ndoa ni ushirikiano wa kweli. Nilipata mimba, tukafurahi wote. Lakini baada ya kujifungua, kila kitu kilibadilika. Alianza kunitazama kama mzigo. Aliniambia mtoto hafanani na yeye.

Maneno hayo yaliumiza zaidi kuliko uchungu wa kujifungua. Nilikaa kimya nikijua ukweli upo, lakini moyo wangu ulianza kufa polepole. Nilienda hadi kwa wachungaji kuhusu hili swala la mume wangu kuacha kutujali, lakini sikufanikiwa, nilijaribu hadi kushirikisha ndugu zake lakini sikufua dafu maana walisema hawaoni shida yoyote na ubaya yule mwanaume akiitwa kujielezea kama ameisusa familia, anakataa kabisa.

Keep reading

Sign in to read the full confession

Create an account or log in to unlock the rest of this story.

Daily reads: 10/10 ยท resets 15 hours from now